Pallance Dladla (alizaliwa Agosti 22, 1992) ni muigizaji wa Afrika Kusini, amepokea tuzo nyingi na uteuzi pamoja na tuzo ya SAFTA. Dladla alishiriki katika msimu wa pili wa darasa la maigizo. Alishindwa na Abdul khoza na Tumia Ngumla ambaye baadae alifanya kazi pamoja katika thamtilia za mwendelezo ya SABC1 inayojulikana kama Tempy Pusha.[1]

Pallance Dladla
Amezaliwa Agosti 22, 1992
Afrika Kusini
Miaka ya kazi 2006 – mpaka sasa


Marejeo hariri

  1. When all your faves were class act. Zalebs. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-06-02. Iliwekwa mnamo 2020-03-08.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pallance Dladla kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.