1992
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1960 |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990
| Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
1988 |
1989 |
1990 |
1991 |
1992
| 1993
| 1994
| 1995
| 1996
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1992 BK (Baada ya Kristo).
Matukio hariri
Waliozaliwa hariri
Kalenda ya Gregori | 2023 MMXXIII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5783 – 5784 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2776 |
Kalenda ya Ethiopia | 2015 – 2016 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1472 ԹՎ ՌՆՀԲ |
Kalenda ya Kiislamu | 1445 – 1446 |
Kalenda ya Kiajemi | 1401 – 1402 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2078 – 2079 |
- Shaka Samvat | 1945 – 1946 |
- Kali Yuga | 5124 – 5125 |
Kalenda ya Kichina | 4719 – 4720 壬寅 – 癸卯 |
- 1 Januari - Jack Wilshere, mchezaji mpira kutoka Uingereza
- 7 Januari - Mbwana Samatta, mchezaji wa mpira kutoka Tanzania
- 11 Februari - Taylor Lautner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Julai - Selena Gomez, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Agosti - Demi Lovato, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki hariri
- 10 Februari – Alex Haley, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1977
- 8 Aprili - Daniel Bovet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1957
- 10 Aprili - Peter Mitchell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1978
- 6 Mei - Marlene Dietrich, mwigizaji filamu na mwimbaji kutoka Ujerumani
- 21 Juni - Joan Fuster, mwandishi wa Kikatalani kutoka Hispania
- 12 Julai - Caroline Pafford Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Agosti - John Sturges, mwongozaji filamu wa Marekani
- 2 Septemba - Barbara McClintock, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1983
- 8 Oktoba - Willy Brandt, Chansela wa Ujerumani (1969-1974)
- 15 Desemba - Sven Delblanc, mwandishi kutoka Uswidi