Paris

mji mkuu wa Ufaransa






Paris (kwa Kifaransa: Fr-Paris.oga [paʁi] (info)) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa wa Ufaransa ukiwa na wakazi 2,140,526 mwanzoni mwa mwaka 2019.

Paris

Bendera

Nembo
Paris is located in Ufaransa
Paris
Paris

Mahali pa mji wa Paris katika Ufaransa

Majiranukta: 48°51′24″N 2°21′3″E / 48.85667°N 2.35083°E / 48.85667; 2.35083
Nchi Ufaransa
Mkoa Île-de-France
Wilaya Paris
Idadi ya wakazi (2019)
 - Wakazi kwa ujumla 2,140,526
Tovuti:  http://www.paris.fr/
Sehemu mojawapo katika mji wa Paris

Jiografia hariri

Mji wa Paris unapatikana katika Ufaransa ya kaskazini.

Mto Seine unatiririka kupitia mji huo.

Picha hariri


Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Paris kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.