Paris
mji mkuu wa Ufaransa
Paris (kwa Kifaransa: [paʁi] (info)) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa wa Ufaransa ukiwa na wakazi 2,140,526 mwanzoni mwa mwaka 2019.
Paris | |||
| |||
Mahali pa mji wa Paris katika Ufaransa |
|||
Majiranukta: 48°51′24″N 2°21′3″E / 48.85667°N 2.35083°E | |||
Nchi | Ufaransa | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Île-de-France | ||
Wilaya | Paris | ||
Idadi ya wakazi (2019) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 2,140,526 | ||
Tovuti: http://www.paris.fr/ |
JiografiaEdit
Mji wa Paris unapatikana katika Ufaransa ya kaskazini.
Mto Seine unatiririka kupitia mji huo.
PichaEdit
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Paris kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |