Peggy J. Blair ni mwanasheria na mwandishi wa Canada. Blair amekuwa mwanachama wa Law Society of Upper Canada tangu mwaka 1990 na alikuwa mwanachama wa zamani wa Law Society of Alberta (19821999). Blair anachukuliwa kama mtaalam wa masuala ya kisheria ya watu wa asili.

Kazi ya kisheria hariri

Blair ana shahada ya Uzaminifu wa sheria (1998) na doctor of laws uzaminifu wa sheria (2003), vyote kutoka Chuo Kikuu cha Ottawa Mwaka 1993, Blair alikuwa wakili mkuu katika kesi ya R. v. Jones and Nadjiwon, kesi ya kwanza nchini Canada kutambua haki za mikataba za watu wa asili kwa uvuvi wa kibiashara kwa kipaumbele kwa watumiaji wengine.

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Peggy Blair kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.