Philip Sang'ka Marmo

Philip Sang'ka Marmo (amezaliwa tar. 29 Desemba 1951) ni mbunge wa jimbo la Mbulu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Mengi kuhusu Philip Sang'ka Marmo (18 Februari 2008). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.

Viungo vya nnje hariri