Philip Sang'ka Marmo
Philip Sang'ka Marmo (amezaliwa tar. 29 Desemba 1951) ni mbunge wa jimbo la Mbulu katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Philip Sang'ka Marmo (18 Februari 2008). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Viungo vya nnje hariri
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |