Portland ni mji wa Marekani katika jimbo la Oregon. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 2.2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 15 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Mji wa Portland, Oregon






Portland

Bendera
Portland is located in Marekani
Portland
Portland

Mahali pa mji wa Portland katika Mareani

Majiranukta: 45°31′12″N 122°40′55″W / 45.52000°N 122.68194°W / 45.52000; -122.68194
Nchi Marekani
Jimbo Oregon
Wilaya Multnomah
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 575,930
Tovuti:  http://www.portlandonline.com/

Viungo vya nje hariri

Portland websites that are also wikis


 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Portland, Oregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.