Rachel Shabi (alizaliwa 30 Machi 1973) ni mwandishi na mwandishi wa habari wa Uingereza.

Rachel Shabi mnamo 2022

Amechangia makala katika gazeti la The Guardian, pamoja na machapisho mengine mengi, na ni mwandishi wa kitabu kinachoitwa "Not the Enemy, Israel's Jews from Arab Lands" (2009).

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rachel Shabi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.