Roy Campbell

Mshairi wa Afrika Kusini

Roy Campbell (2 Oktoba 1901 - 22 Aprili 1957) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini.

Roy Campbell, Mary Campbell (kushoto), Jacob Kramer na Dolores mwaka 1920
Roy Campbell
Amezaliwa Ignatius Royston Dunnachie Campbell
2 Oktoba 1901
Durban, Afrika Kusini
Amekufa 23 Aprili 1957
Ureno
Nchi Afrika Kusini
Kazi yake Mshairi, Mwanahabari

Hasa alitunga mashairi, na mwaka wa 1926 alihariri jarida la Voorslag.

Baadaye alihama nchi yake na kukaa Uingereza, Hispania na Ureno.

Vitabu vyake hariri

  • The Flaming Terrapin (1924)
  • Adamastor (1930)
  • Broken Record (1934; tawasifu)
  • Talking Bronco (1946)
  • Light on a Dark Horse (1951; tawasifu)

Angalia pia hariri

Marejeo hariri

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Roy Campbell kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.