Safseri

pazia la jadi la Tunisia linalovaliwa na wanawake

Safseri (wakati mwingine huandikwa sefseri, safsari au sefsari) ni vazi la kitamaduni nchini Tunisia linalovaliwa na wanawake. [1]

Wanawake wawili wa Tunisia wakiwa wamevalia safseri

Muundo hariri

Safseri inaundwa na kipande kikubwa cha kitambaa kinachofunika mwili mzima. Kawaida ina rangi ya cream na imetengenezwa kwa pamba, satin au hariri

Kutegemeana na mikoa ya Tunisia, inaweza kuwa ina rangi zaidi, hususani kusini mwa nchi[2].

Uvaaji hariri

Huvaliwa na wanawake wenye adabu kuepuka mwonekano wa kiuanaume. Ndani ya Tunisia kwa sasa, hili vazi huvaliwa na wanawake viongozi. Mara nyingi bibi huvaa hili vazi tofauti, watoto wao wa kike hawavai.

Baada ya uhuru wa Tunisia, Rais Habib Bourguiba alijaribu, kuweka upekee, kwa wale watu wanaoacha kutumia[3].

Vazi hilo leo limeachwa kwa kiasi kikubwa[2].

Marejeo hariri

  1. Chiraz Bouzaien, « Le sefseri, une tradition qui disparaît », Baya, 14 juillet 2012.
  2. 2.0 2.1 Jean-Pierre Filiu et Jean-Noël Jeanneney, « La Tunisie de Bourguiba », Concordance des temps, France Culture, 15 février 2014, 42e minute.
  3. https://www.ina.fr/economie-et-societe/education-et-enseignement/video/CPF86630549/bahia-ou-ces-femmes-de-tunisie.fr.html
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Safseri kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.