Sam Kerr

Mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake wa Australia

Samantha May Kerr (alizaliwa 10 Septemba 1993) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Australia ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Chelsea ya Ligi ya Wanawake ya FA(WSL), na timu ya taifa ya wanawake ya Australia, ambayo amekuwa nahodha tangu 2019.

Sam Kerr akiwa Chelsea mnamo Februari 2020

Anajulikana kwa kasi, ustadi wake na ukakamavu akiwa uwanjani,[1] Kerr anachukuliwa kuwa mmoja wa washambuliaji bora zaidi ulimwenguni, na mmoja wa wanariadha wakubwa wa Australia.[2][3]

Marejeo hariri

  1. "Sam Kerr's latest exploits mark her out as one of Australia's greatest athletes | Joey Lynch". the Guardian (kwa Kiingereza). 9 May 2022. Iliwekwa mnamo 10 May 2022.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Smith, Rory. "Australia's New Queen". New York Times. Iliwekwa mnamo 7 March 2024.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Sam Kerr mania heats up as Australia readies to co-host soccer World Cup", 14 July 2023. (en) 
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sam Kerr kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.