Samuel Losuron Poghisio ni mwanasiasa anayehudumu kama kiongozi wa walio wengi katika seneti ya Kenya.Samuel ni mwanachama wa Kenya African National Union - KANU na hapo awali alikuwa mwanachama wa United Republican Party - URP na Orange Democratic Movement na alichaguliwa kuwakilisha eneo la Kacheliba katika bunge la kitaifa la Kenya tangu uchaguzi wa wabunge wa 2007. [1][2]

Samuel Losuron Poghisio

Marejeo

hariri
  1. Members Of The 10th Parliament Archived 2008-06-16 at the Wayback Machine. Parliament of Kenya. Accessed June 19, 2008.
  2. "Sen. Poghisio Samuel Losuron | The Kenyan Parliament Website". www.parliament.go.ke. Iliwekwa mnamo 2020-05-12.