Shafiqa Ziaie

Mwalimu wa Afghanistan na waziri wa baraza la mawaziri

Shafiqa Ziaie (aliwa 1928)ni msomi wa Afghanistan na mjumbe wa baraza la mawazili[1]. Alikua ni miongoni mwa kizazi cha wanawake walio pata nyadhifa za umma huko Afghanistan baada ya mageuzi ya Mohammed Daoud Khan

Marejeo. hariri

  1. "Download Limit Exceeded". citeseerx.ist.psu.edu. Iliwekwa mnamo 2022-03-20.