Shule ya Antiokia ilikuwa kimojawapo kati ya vituo vikuu viwili vya teolojia na ufafanuzi wa Biblia ya Kikristo wakati wa Mababu wa Kanisa; kingine kilikuwa Shule ya Aleksandria. Majina ya vituo vyote viwili yalitokana na majiji vilipostawi katika Ukristo.

Wakati wanateolojia wa Aleksandria (Misri) walipenda zaidi kufafanua Biblia kiroho, wale wa Antiokia ya Siria (leo nchini Uturuki) walifuata zaidi maneno yenyewe. Matokeo ya tofauti hizo yalijitokeza katika teolojia kuhusu fumbo la Yesu Kristo yakasababisha mafarakano makubwa ya karne ya 5.[1][2]

Historia ya shule ya Antiokia inaweza kugawiwa katika vipindi vitatu:

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Cross, F. L., ed. The Oxford Dictionary of the Christian Church. New York: Oxford University Press. 2005, article Adoptianism
  2. Cross, F. L., ed. The Oxford Dictionary of the Christian Church. New York: Oxford University Press. 2005, article Nestorius
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shule ya Antiokia kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.