Mto Simiyu
(Elekezwa kutoka Simiyu)
Mto Simiyu ni mto wa Tanzania kaskazini ambao maji yake yanaingia katika ziwa Viktoria na hatimaye yanaelekea Bahari ya Kati kupitia mto wa Naili. Mdomo wake uko karibu na Magu Mjini. Tawimto muhimu ni mto Duma.
Chanzo | katika mbuga wa Serengeti |
Urefu | 1680 |
Kimo cha chanzo | 1135 m |
Tawimito upande wa kulia | Duma |
Mkondo | 0- 208 |
Eneo la beseni | 10800 km² |
Miji mikubwa kando lake | Magu Mjini |
Mkoa ambapo unapitia unapata jina kutoka kwake: Mkoa wa Simiyu.
Hidrometria hariri
Kiasi cha maji yanayopita katika mto huu unabadilika kimajira kutegemeana na kiasi cha mvua. Vipimo viko kama m³ / s (1999–2004) [1]
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.hydrol-earth-syst-sci-discuss.net/4/881/2007/hessd-4-881-2007-print.pdf%7C[dead link] titel=Prediction of runoff and discharge in the Simiyu River (tributary of Lake Victoria, Tanzania) using the WetSpa model
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Simiyu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |