Soyo ni mji uliopo kaskazini magharibi mwa nchi ya Angola katika mkoa wa Zaire.

Mwaka 2009 idadi ya wakazi ilikuwa 75,224[1].

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Soyo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.