Stella Ikupa Alex

Mwanasiasa kutoka Tanzania, Mhasibu na Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi

Stella Ikupa Alex (amezaliwa tarehe 1 Oktoba 1979) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalumu kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017