Sunjoy Monga

Mhifadhi wa India na mpiga picha

Sunjoy Monga ni mpiga picha za wanyamapori, mhifadhi, mwanaasili na mwandishi anayeishi Mumbai katika nchi ya Uhindi. Alizaliwa Masjid Bunder.[1][2][3][4]

Ameanzisha uhamasishaji wa mazingira 'Young Rangers' miongoni mwa shule na watoto wa shule kote India.[5] Pia amechaguliwa kwenye jopo la ushauri la Tumbhi.[6]

Marejeo hariri

  1. "On the catwalk", 30 June 2004. Retrieved on 23 July 2021. (en) 
  2. "Two new species of spiders found at Mumbai"s Aarey Milk Colony". 
  3. "Kingfisher gets trapped in nets on Lokhandwala lake". 
  4. "Into the wild with Sunjoy Monga". Hindustan Times (kwa Kiingereza). 5 December 2011.  Check date values in: |date= (help)
  5. Suryanarayan, Deepa (28 January 2008). "Green they are, but not behind their ears". DNA India (kwa Kiingereza).  Check date values in: |date= (help)
  6. "Wetlands to waste bins, Mumbai's diverse habitats house hundreds of bird species". www.cnbctv18.com (kwa Kiingereza). 18 February 2019.  Check date values in: |date= (help)
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sunjoy Monga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.