Sylvia Tamale
msomi wa uganda
Sylvia Rosila Tamale ni msomi kutoka Uganda na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini humo. Alikuwa mkuu wa kwanza wa kike katika kitivo cha sheria Chuo Kikuu cha Makerere Uganda. [1] [2]
Sylvia Tamale | |
Nchi | Uganda |
---|---|
Kazi yake | Mwana harakati |
Elimu hariri
Tamale alipokea shahada yake ya sheria kutoka Chuo Kikuu cha Makerere Shahada yake ya Uzamili ya Sheria kutoka shule ya Sheria ya Harvard, na Udaktari wake wa Falsafa katika sosholojia na masomo ya ufeministi kutoka Chuo Kikuu cha Minnesota mnamo mwaka 1997. Tamale alipokea Diploma yake ya Utendaji wa Sheria kutoka Kituo cha maendeleo ya Sheria Kampala mwaka 1990. [3]
Tanbihi hariri
- ↑ Mwesigye, Gumisiriza (28 April 2012). "Tamale: A passionate human rights activist". Iliwekwa mnamo 15 October 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Honouring Sylvia Tamale". Pambazuka.org. 2 December 2004. Iliwekwa mnamo 15 October 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ Mwesigye, Gumisiriza (28 April 2012). "Tamale: A passionate human rights activist". Iliwekwa mnamo 15 October 2016. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) Mwesigye, Gumisiriza (28 April 2012). "Tamale: A passionate human rights activist". Daily Monitor.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sylvia Tamale kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |