Tapa (utarakilishi)

Katika utarakilishi, tapa (kwa Kiingereza: Tag) ni neno msingi linalotolewa na kipande cha taarifa (kwa mfano, alamisho mtandao, taswira tarakimu, kumbukumbu za hazinadata au jalada tarakilishi).

Wingu maneno au wingu tapa wa maneno kuhusiana na Web 2.0.

Tapa inarahisisha utafutaji wa taarifa kwenye mtandao.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.