Tedros Adhanom Ghebreyesus (kwa Ge'ez: ቴዎድሮስ አድሓኖም ገብረኢየሱስ; amezaliwa 3 Machi 1965) ni mtafiti wa afya ya umma wa Ethiopia na afisa wake aliyetumikia tangu mwaka 2017 kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani.

Tedros ndiye mtu wa kwanza ambaye si daktari na wa kwanza wa Kiafrika katika jukumu hilo, ambaye amethibitishwa na Umoja wa Afrika.

Ameshika nafasi mbili za hali ya juu katika serikali ya Ethiopia: Waziri wa Afya kutoka 2005 hadi 2012 na Waziri wa Mambo ya Nje kuanzia 2012 hadi 2016.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tedros Adhanom kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.