Temwa Chawinga
mwanasoka wa Malawi
Temwa Chawinga, (alizaliwa 20 Septemba 1998) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Malawi ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Wuhan Jianghan University FC na Timu ya Taifa ya Wanawake Malawi.
Temwa Chawinga | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Tarehe ya kuzaliwa | 20 Septemba 1998 | |
Mahala pa kuzaliwa | Lilongwe, Malawi | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji | |
Timu ya taifa | ||
Timu ya Taifa ya Wanawake Malawi | ||
* Magoli alioshinda |
Maisha binafsi hariri
Dada yake Tabitha Chawinga pia ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kimataifa wa nchini Malawi.[1]
Marejeo hariri
- ↑ Ahmadu, Samuel (6 March 2021). "Chawinga: Tabitha joins Malawian sister Temwa at Wuhan". Goal.com. Goal. Iliwekwa mnamo 6 August 2021. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help); Check date values in:|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Temwa Chawinga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |