Tyla

Mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Afrika Kusini

Tyla Laura Seethal (alimaarufu kama Tyla, alizaliwa Johannesburg, 30 Januari 2002)[1] ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Afrika Kusini.

Tyla mnamo 2024

Alizaliwa na kukulia Johannesburg, alisaini na Epic Records mnamo 2021 baada ya mafanikio yake ndani ya wimbo wake wa kwanza wa 2019, "Getting Late" akimshirikisha Kooldrink.[2]

Tyla ndiye msanii mwenye umri mdogo zaidi barani Afrika kushinda Tuzo ya Grammy, na pia amepata uteuzi wa Tuzo za BRIT, Tuzo ya Soul Train Music, Tuzo ya MOBO, na Tuzo mbili za Muziki za Afrika Kusini. Amechukuliwa kuwa "malkia wa poppiano," mchanganyiko wa aina za pop na amapiano.[3][4][5]

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Afrika bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tyla kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.