Ufalme wa Qita'a( Pia unajulikana kama Ufalme wa Qata), Ulikuwa ufalme wa zamani wa medieval  uliowekwa Kaskazini mashariki mwa Afrika. Kulingana na Al-Yaqubi, Ilikuwa moja ya maeneo sita ya Beja ambayo yalikuwepo katika mkoa huo wakati wa karne ya 9. Sehemu ya ufalme huo ilikuwa kati ya Aswan na Massawa.[1]

Marejeo

hariri