Ufundi
Ufundi ni ujuzi au maarifa aliyonayo binadamu katika kufanya jambo fulani.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/59/A_young_carpenter_makes_funiture_outside_a_local_workshop.jpg/220px-A_young_carpenter_makes_funiture_outside_a_local_workshop.jpg)
Katika kueleza dhana ya ufundi tunamhusisha binadamu zaidi, kwani ndiye mwenye ujuzi wa pekee unaomtofautisha na viumbe hai wengine.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |