Ugonjwa wa mawasiliano

Ugonjwa wa mawasiliano (kwa Kiingereza "Communication disorder") ni ugonjwa unaoathiri uwezo wa mtu wa kuelewa, kuchunguza, au kutumia lugha na kushindwa kutoa hoja ili kushiriki kwa ufanisi katika mazungumzo na wengine.

Husababishwa na hitilafu fulanifulani kwenye ubongo. Ugonjwa huu unamfanya mtu ashindwe kuongea mbele ya umati wa watu.

Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ugonjwa wa mawasiliano kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.