Verner von Heidenstam

Tuzo Nobel.png

Verner von Heidenstam (6 Julai 185920 Mei 1940) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Sweden. Hasa aliandika mashairi na riwaya. Mwaka wa 1916 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Verner von Heidenstam alivyochorwa na Oscar Bjoerck
Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Inkwell icon - Noun Project 2512.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Verner von Heidenstam kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.