Vision For Youth

Asasi Isiyokuwa ya Kiserikali

Vision For Youth (kwa kifupi V4Y) ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake mkoani Arusha, [1] asasi hii hufanya kazi katika maeneo matatu makuu ambayo ni afya,elimu ya uraia,pamoja na kuwainua vijana kiuchumi [2]. V4Y hufanya kazi kwa vijana wenye umri kuanzia miaka kumi na tano hadi thelethini na tano tu.

Tanbihi hariri