Vusi Ximba

Mwanamuziki wa vichekesho wa Afrika Kusini

Vusi Ximba (1939 – 2011) alikuwa mwanamuziki wa nchini Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo na mchekeshaji aliyejulikana zaidi kwa mtindo wake wa vichekesho vya muziki na maonyesho.

Alizaliwa na kukulia Mandini, kaskazini mwa KwaZulu-Natal .[1] Baadae alihamia KwaSwayimane huko Pietermaritzburg ambako aliishi hadi kifo chake mnamo 2 Februari 2011. [2] [3]

Kazi za muziki hariri

  • Therelina (1997)
  • Umthandazi Ejoyintini (1998)
  • Govozile EP (2020, ilitolewa baada ya kifo)

Marejeo hariri

  1. "COMEDY SHOW A HIT IN DURBS". SowetanLIVE (kwa en-ZA). Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
  2. "Last Note for accordion player". IOL. Independent Newspapers. Iliwekwa mnamo 24 August 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Vusi Ximba will be missed". Retrieved on 22 June 2018. 
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Vusi Ximba kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.