Wanawake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara

Wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara ni wanawake ambao walizaliwa, wanaishi au wanatoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara katika eneo la Sahara ya Magharibi au makambi ya wakimbizi ya Sahrawi. Katika jamii ya Sahrawi wanawake wanashiriki katika majukumu na kazi mbalimbali ya kijamii pamoja na mashirika Ya kijamii.[1] Kifungu cha 41 cha Katiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu Kinahakikisha kwamba serikali itazingatia kukuza ushiriki wa wanawake katika masuala ya kisiasa, kijamii na kitamaduni kwa ajili ya maendeleo na ukuaji wa taifa.

Kundi la wanawake wa Sahrawi.

Mavazi hariri

Mavazi yanayovaliwa na wanawake wa Sahrawi ni pamoja na vazi linaloitwa Daraa na kitambaa cha kichwani kinachojulikana kama Mefhla.[2][3]

Siasa hariri

Katika uchaguzi wa mwaka 2012 katika bunge la Sahrawi, asilimia 35 ya wabunge walikuwa wanawake na katika uchaguzi wa mwaka 2008, wanawake walipata walifanikiwa kupata asilimia 34.61 ya viti vya uwakilishi bungeni.[4]

Marejeo hariri

  1. Donati, Simone. Saharawi Archived 12 Januari 2013 at the Wayback Machine., Terra Project Photographers.
  2. National Geographic Magazine, december 2008
  3. Mentioning of Daraa robe
  4. "Renewal of the Saharawi Parliament reached 61,53%", Sahara Press Service, 2008-02-25. Retrieved on 2021-08-11. Archived from the original on 2011-05-26.