Warren Edward Buffett (amezaliwa 30 Agosti 1930) ni mfanyabiashara kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa ajili ya falsafa yake ya ukarimu.

Warren Buffett
Warren Edward Buffett
Warren Edward Buffett
Alizaliwa 30 Agosti 1930
Nchi Marekani
Kazi yake Mwana falsafa
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Warren Buffett kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.