Wilaya ya Bariadi Vijijini

Wilaya ya Bariadi ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Simiyu, yenye postikodi namba 39100 [1].

Bariadi kati ya wilaya za Shinyanga kabla ya mkoa kumegwa mwaka 2012.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 422,916 [2] Katika sensa ya mwaka 2022, baada ya Bariadi Mjini kutengwa, wakazi walihesabiwa 383,385 [3].

Misimbo ya posta ya wilaya hii inaanza kwa 391xx.

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-08-05. Iliwekwa mnamo 2018-02-01. 
  2. Sensa ya 2012, Simiyu Region - Bariadi District Council
  3. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Bariadi VijijiniMkoa wa Shinyanga - Tanzania  

Banemhi | Dutwa | Gambosi | Gibishi | Gilya | Ihusi | Ikungulyabashashi | Itubukilo | Kasoli | Kilalo | Masewa | Matongo | Mwadobana | Mwasubuya | Mwaubingi | Mwaumatondo | Ngulyati | Nkindwabiye | Nkololo | Sakwe | Sapiwi


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Simiyu bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.