Wilaya ya Kongwa ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41500[1].

Mahali pa Kongwa (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Dodoma.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kongwa ilihesabiwa kuwa 309,973. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 443,867 [2].

Marejeo hariri

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-11-01.
  2. https://www.nbs.go.tz
  Kata za Wilaya ya Kongwa - Mkoa wa Dodoma - Tanzania  

Chamkoroma | Chitego | Chiwe | Hogoro | Iduo | Kibaigwa | Kongwa | Lenjulu | Makawa | Matongoro | Mkoka | Mlali | Mtanana | Ng'humbi | Ngomai | Njoge | Pandambili | Sagara | Sejeli | Songambele | Ugogoni | Zoissa


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kongwa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.