Iduo ni kata ya Wilaya ya Kongwa katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41504[1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 15,244 [2]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 11197 [3] waishio humo.

Wenyeji ni Wakaguru na Wagogo, wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.

Mwaka 2015 kijiji kimepata umeme wa TANESCO kwa bei nafuu. Mzaliwa wa kwanza kujenga nyumba ya kisasa na yenye gharama kubwa ya mamilioni ya pesa ni kijana mdogo,wa ukoo wa Ndolonjei anaeitwa Lazaro Ndolonjei alijenga nyumba kubwa yakisasa akiwa na umri wa miaka 27 mwaka 2012 na pia ni mtu wakwanza kuweka wiring ya umeme,pia Lazaro Ndolonjei ni mtu wakwanza kuvuta maji ya bomba katika kata ya IDUO na kuwa mtu wakwanza kuwa na maji ya bomba nyumbani kwake.

Marejeo hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-11-01. 
  2. https://www.nbs.go.tz
  3. "Sensa ya 2012, Dodoma - Kongwa DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-05-18. 
  Kata za Wilaya ya Kongwa - Mkoa wa Dodoma - Tanzania  

Chamkoroma | Chitego | Chiwe | Hogoro | Iduo | Kibaigwa | Kongwa | Lenjulu | Makawa | Matongoro | Mkoka | Mlali | Mtanana | Ng'humbi | Ngomai | Njoge | Pandambili | Sagara | Sejeli | Songambele | Ugogoni | Zoissa


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Iduo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.