Winston Leonard Spencer Churchill (30 Novemba 187424 Januari 1965) alikuwa mwanasiasa, mwanajeshi na mwandishi kutoka nchi ya Uingereza. Mara mbili alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, miaka ya 1940-45, na 1951-55. Mwaka wa 1953 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Pia, mwaka wa 1953 alipewa cheo cha "Sir" cha Uingereza.

Winston Churchill
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Winston Churchill kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.