Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Wizara ya Ardhi (Kiingereza: Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development kifupi (ARDHI)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.[1]
- ↑ 1.0 1.1 "MLHHSD | Mwanzo". www.lands.go.tz. Iliwekwa mnamo 2025-05-31.
Tazama pia
haririViungo vya nje
hariri- Tovuti rasmi Ilihifadhiwa 2 Machi 2009 kwenye Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |