Wizara ya Maliasili na Utalii
Tanzania
Wizara ya Maliasili na Utalii (kwa Kiingereza: Ministry of Natural Resources and Tourism; kifupi MNRT) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dodoma.
Marejeo
haririTazama pia
haririLua error in package.lua at line 80: module 'Module:Navbar/configuration' not found.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |