Wizara ya Mambo ya Ndani

Wizara ya Mambo ya Ndani (Kiingereza: Ministry of Home Affairs kifupi (MoHA)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.

Marejeo hariri

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri