Wizara ya Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki (Kiingereza: Ministry of East African Cooperation kifupi (MEAC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo hariri
Tazama pia hariri
Viungo vya nje hariri
- Tovuti rasmi Archived 19 Juni 2017 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |