Ziwa Jipe

Ziwa katika Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania

Ziwa Jipe ni moja kati ya maziwa ya Tanzania na ya Kenya.

Ziwa Jipe mpakani mwa Kenya na Tanzania.

Linategemea zaidi maji ya mto Lumi unaotiririka kutoka mlima Kilimanjaro[1].

Tazama pia

hariri

3°27′0″S 37°43′48″E / 3.45000°S 37.73000°E / -3.45000; 37.73000

Tanbihi

hariri
  1. Ministry of Natural Resources and Tourism, Wildlife Division, The United Republic of Tanzania (Mei 2004). "Lake Jipe Awareness Raising Strategy (2005 – 2007)" (PDF). ramsar.org. uk. 6. Iliwekwa mnamo 24 Septemba 2011.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: multiple names: authors list (link)

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ziwa Jipe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.