Ziwa Kijanebalola ni ziwa dogo la Uganda kusini kwa Ikweta, katika wilaya ya Rakai.

Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa hilo lina eneo la kilometa mraba 38.89.

Ndani yake hupatikana kisiwa cha Kisozi na kisiwa cha Kinoni.

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri