Akira Toriyama (鳥山 明, Toriyama; Nagoya, Aichi, Japani, 5 Aprili, 1955 - Machi 1, 2024) alikuwa msanii wa kutengeneza manga na wahusika wa manga huko Japani.

Akira Toriyama (1955-2024)

Maelezo ya awali
Pia anajulikana kama msanii anayetengeneza manga na wahusika wa manga huko Japani
Miaka ya kazi 1978-2024

Akira Toriama alipata kujulikana kwa safu ya kwanza iitwayo Dr. Slump, kabla ya kuunda Dragon Ball kazi yake iliyojulikana zaidi na akawa kama mbuni wa wahusika katika safu hiyo ya Dragon Ball. Na pia Akira anajulikana kwa kutengeneza michezo ya kwenye runinga kama vile Dragon Quest, Chrono Trigger na Blue Dragon. Akira Toriyama anachukuliwa kama mmoja wa wasanii waliobadilisha historia ya vichekesho, kwani kazi zake zina ushawishi mkubwa na maarufu, haswa Dragon Ball, ambao wasanii wengi wa vichekesho wanataja kama chanzo cha msukumo.

Maisha yake ya mwanzo hariri

Akira Toriyama wakati alipokuwa katika shule ya msingi wanafunzi wenzake wote walichora, wakiiga anime na manga, kama matokeo ya kutokuwa na aina nyingi za burudani. Alianza kusonga mbele alipoanza kuchora picha za marafiki zake, na baada ya kushinda tuzo katika studio ya sanaa ya hapa kwa picha ya Mia moja na Dalmatia mmoja, alianza kufikiria "sanaa ilikuwa ya kufurahisha".

  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Akira Toriyama kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.