'

Albert Claude
Albert Claude
Amezaliwa24 Agosti 1898
Amefariki22 Mei 1983
Kazi yakedaktari kutoka nchi ya Ubelgiji


Albert Claude (24 Agosti 189822 Mei 1983) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ubelgiji, na pia alikuwa na uraia wa Marekani tangu 1941. Hasa alichunguza vipengele mbalimbali vya chembe hai. Mwaka wa 1974, pamoja na George Palade na Christian de Duve alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Albert Claude kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Marekanibado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Albert Claude kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.