Alex Gashaza
Alex Raphael Gashaza ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ngara kwa miaka 2015 – 2020. [1] Miaka 2015-2018 alikuwa mwanachama wa kamati ya mahesabu ya serikali za mitaa.[2]
Marejeo hariri
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |