Aljebra (kutoka katika Kiarabu "al-jabr", inamaanisha "muungano wa sehemu zilizovunjika") ni tawi mojawapo la hisabati pamoja na nadharia ya namba, jiometri na uchambuzi.

Ukurasa wa kitabu al-Kitāb al-muḫtaṣar fī ḥisāb al-ğabr wa-l-muqābala cha Al-Khwārizmī.

Sifa maalumu ya aljebra ni kwamba inatumia ishara kutatua matatizo ya hisabati, kwa mfano kupiga hesabu hata kama namba fulani ndani yake haijulikani.

Katika muundo wake wa kiujumla, aljebra ni somo la ishara za kihisabati na sheria za kuendesha ishara hizo; ni uzi unaounganisha karibu matawi yote ya hisabati. Inajumuisha kila kitu kutoka kwenye misingi ya kutatua milinganyo.

  • Mfano mmoja ni mlinganyo ufuatao ambapo ni kutofautiana:




Marejeo

hariri
  • Boyer, Carl B. (1991), A History of Mathematics (toleo la Second), John Wiley & Sons, Inc., ISBN 0-471-54397-7
  • Donald R. Hill, Islamic Science and Engineering (Edinburgh University Press, 1994).
  • Ziauddin Sardar, Jerry Ravetz, and Borin Van Loon, Introducing Mathematics (Totem Books, 1999).
  • George Gheverghese Joseph, The Crest of the Peacock: Non-European Roots of Mathematics (Penguin Books, 2000).
  • John J O'Connor and Edmund F Robertson, History Topics: Algebra Index. In MacTutor History of Mathematics archive (University of St Andrews, 2005).
  • I.N. Herstein: Topics in Algebra. ISBN 0-471-02371-X
  • R.B.J.T. Allenby: Rings, Fields and Groups. ISBN 0-340-54440-6
  • L. Euler: Elements of Algebra Archived 13 Aprili 2011 at the Wayback Machine., ISBN 978-1-899618-73-6
  • Asimov, Isaac (1961). Realm of Algebra. Houghton Mifflin.

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aljebra kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.