Ally Rehmtullah (alizaliwa Januari 18 1986) ni mbunifu wa mitindo wa Kitanzania [1].

Maisha ya awali na kazi hariri

Ni mtanzania wa kizazi cha nne mwenye asili ya Kihindi, ambaye alisoma katika shule ya Sanaa ya Baum na chuo cha Lehigh Valley Marekani[2] kabla ya kurejea Tanzania kufanya kazi kama mwalimu wa sanaa ya picha mpaka alipobadili taaluma yake hadi kwenye ubunifu wa mitindo[3]. Mnamo Septemba 2008, alikua mbunifu wa kwanza wa Afrika Mashariki kufanya maonyesho ya mavazi katika London Fashion Week.

Marejeo hariri

  1. http://artmatters.info/2008/09/tanzanias-newest-designer-unveils-his-true-colours/
  2. https://web.archive.org/web/20130726091221/http://hbsafrica.conferenceapp.com/members/ally-rehmtullah1
  3. https://theworld.org/dispatch/news/regions/africa/131209/fashion-dar-es-saalam-3-questions-ally-rehmtullah[dead link]