Almas Athuman Maige

Almas Athuman Maige ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tabora Kaskazini kwa miaka 20152020. [1] Mwaka 2015-2018 alikuwa mwenyekiti msaidizi wa kamati ya upendeleo wa bunge, maadili na madaraka. Amehitimu Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania[2].

Marejeo hariri

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.