Almuth Schult
Almuth Schult (alizaliwa 9 Februari 1991) ni mchezaji wa mpira wa miguu nchini Ujerumani. Kwa sasa anacheza katika klabu ya VfL Wolfsburg ya wanawake na timu ya taifa ya wanawake ya Ujerumani kama golikipa.[1][2]
Almuth Schult
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Ujerumani |
Nchi anayoitumikia | Ujerumani |
Jina halisi | Almuth |
Jina la familia | Schult |
Tarehe ya Kuzaliwa | 9 Februari 1991 |
Mahali alipozaliwa | Dannenberg (Elbe) |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kijerumani |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | goalkeeper |
Muda wa kazi | 2007 |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Namba ya Mchezaji | 1 |
Ameshiriki | football at the 2016 Summer Olympics, 2019 FIFA Women's World Cup, UEFA Women's Euro 2022 |
Marejeo hariri
- ↑ FIFA Women's World Cup France 2019 – List of Players: Germany. FIFA (7 July 2019). Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-06-06. Iliwekwa mnamo 2022-05-07.
- ↑ Nationalspielerin Almuth Schult (de). DFB.de.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Almuth Schult kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |