Andreas Evald Cornelius (alizaliwa 16 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Denmark ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Atalanta iiliyopo nchini Italia na timu ya taifa ya Denmark.

Andreas Cornelius
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaDenmark Hariri
Nchi anayoitumikiaDenmark Hariri
Jina katika lugha mamaAndreas Cornelius Hariri
Jina la kuzaliwaAndreas Evald Cornelius Hariri
Jina halisiAndreas Hariri
Jina la familiaCornelius Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa16 Machi 1993 Hariri
Mahali alipozaliwaKopenhagen Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKidenmark Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuforward Hariri
Muda wa kazi2012 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji11 Hariri
AmeshirikiKombe la Dunia la FIFA 2018 Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza Hariri
Andreas Cornelius

Atalanta hariri

Mnamo 2 Mei 2017, ilitangazwa kuwa Andreas Cornelius amejiunga na klabu ya Atalanta iiliyopo nchini Italia katika ligi ya Serie A kwa ada ya karibu 3.5 milioni.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andreas Cornelius kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.