Arthur Ssegwanyi (alizaliwa 12 Machi 1988) ni mchezaji wa chess wa nchini Uganda. Alitunukiwa taji la nternational Master (IM) na FIDE mnamo mwaka 2015 kama matokeo ya kushinda Ubingwa wa binafsi wa Zone 4.2 katika mwaka huo huo. [1] Ushindi huu pia ulimwezesha kucheza katika Kombe la Dunia la FIDE 2015 .


Ssegwanyi alitoka sare katika mchezo wa kwanza katika hatua 158, [2] [3] [4] [5] kisha akapoteza mchezo wa pili na hivyo akaondolewa kwenye mashindano. [6] [7] Mnamo 2016, alishinda Mashindano ya Wazi ya Chess ya Tanzania huko Dar es Salaam . [8] Ssegwanyi ameichezea timu ya Uganda katika mashindano ya Chess tangu 2012.

Marejeo hariri

  1. 2015 Africa Zone 4.2 Individual Chess Championship - Open Category. Chess-results.com (2015-04-25). Iliwekwa mnamo 2015-09-23.
  2. McGourty (2015-09-11). Baku World Cup, 1.1: Upsets and unlikely heroes. chess24.com. Iliwekwa mnamo 2017-07-08.
  3. "Uganda: Ssegwanyi Holds Favourite Giri At Chess World Cup", 2015-09-14. Retrieved on 2017-07-08. 
  4. Uganda's Ssegwanyi holds Dutch grand master Giri in 6 hour duel | Chess World Cup. Kawowo Sports (2015-09-13). Iliwekwa mnamo 2017-07-08.
  5. "Chess World Cup: Ssegwanyi holds Giri to a draw". Retrieved on 2017-07-08. 
  6. McGourty (2015-09-12). Baku World Cup, 1.2: Statistics. chess24.com. Iliwekwa mnamo 2017-07-08.
  7. "Ssegwanyi eliminated from Chess W. Cup". Retrieved on 2017-07-08. 
  8. "Ssegwanyi Wins Tanzania Chess Open". Retrieved on 2017-07-08. 
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Arthur Ssegwanyi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.