Atashasta Justus Nditiye
Atashasta Justus Nditiye ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Muhambwe kwa mwaka 2015 – 2020. [1]
MarejeoEdit
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Januari 2018
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |